1.) Ndesamburo .
Ndesamburo Menda Nnyaka ni nani na aliishi wapi?.
Ndesamburo ni mdogo wake Babu Elinewinga.Huyu ni Baba yake na Boronga, ni Babu yake na Amani wa Zebedayo.Ndesamburo alifariki kitambo kidogo wajukuu wengi hawakumfahamu ila mke wake ndiye wengi tulimkuta. Mke wake Ndesamburo aliitwa (Makitika).Makitika alikuwa maarufu bale urereny kwa kilimo cha mahindi ya mapema kuliko watu wengine wote.Kila Chrismass ya kila mwaka pale kwa bibi makitika utapata mahindi mabichi ya kuchoma, mlimani bado, baada ya huyu bibi kuondoka mahindi pale hakuna tena.Bibi Makitika alifariki miaka ya elfu mbili akiwa na miaka 120. .1. Eunike Ndesamburo
Eunike aliolewa na mtu wa Lyamungo mzee Uliki , Babu akawapatia sehemu (kyamba) pale Nkwatuke wakaja kujenga pale hata leo. Huyu Eunike , mtoto wa Ndesamburo alijaliwa watoto wanne (4) , wa kwanza ni Angasiriny(alizaliwa 1943) na wa mwisho ni Ndenfoo 'Mabangi' (Huyu akizaliwa 1950). Mke wa Estomih Swai pale Losaa ni mtoto wa Unike.Estomih Swai ni miongoni mwa majirani wa mzee wetu Isaeli pale Losaa kwa sasa Adam. Hii ni kusema kuwa huyu mke wa Estomih Swai ni Mjukuu mwenzetu.
Na kweli tumeona Bwana alimfanya kuwa mshindi kwelikweli,Haleluya! (Zab.60:12) .
Mzee Elinewinga Menda Nnyaka alimaliza safari yake mwaka 1984 akiwa na uzee mwema wa miaka 114 na rekodi bora kabisa (Nndumi Narumishwa Nde na Ma!) .
Elinewinga Maana yake nini.
Elinewinga- Elinewinga maana yake ni BwanaNa kweli tumeona Bwana alimfanya kuwa mshindi kwelikweli,Haleluya! (Zab.60:12) .
Wanaoniheshimu nitawaheshimu na wao wanaonidharau watahesabiwa kuwa si kitu! (1 Sam.2:30 ).Kwa hili kila mtu ajitafakari ni kivipi anamheshimu Bwana,utafiti wa haraka waonyesha wote waliomheshimu Bwana waliacha watu baada yao sio "Marami"(angalia kila lilipofika kanisa na pale ambapo halikufika watu wake wakoje?).Kama unawapenda watoto wako jifunze kumheshimu Bwana naye atasimama na wanao Mwanzo 26:2-5 .
i. Angasiriny.
ii.Nkiransiande.
iii.Rabinsiande .
iv.Leah na Ndenfoo .