1.UTANGULIZI.

1a).Baba yake Bibi Elikyesia.

Nsero Salema Kileo. Huyu ndie Baba Mzazi wa Bibi yetu Elikyesia Nsero Kileo 'Mansero'. Ndugu zake Nsero ni Elianshitaua na Ndesamburo . Nsero alikuwa mtoto wa pili kwa mzee Salema. Nsero alioa wake wawili. Bibi Elikyesia ni mtoto wa mke mkubwa. Elikyesia ndie mtoto wake wa kwanza kabisa . Watoto wengine waliozaliwa na mke mkubwa (mama mmoja na Bibi yetu Elikyesia) ni Salome(aliolewa Ng'uni kwa Anamwikira mtoto wao anaitwa Sarieli ambaye mke wake aliwahi kuwa mbunge, mtoto mwingine wa Nsero ni Nkangeresa(Huyu aliolewa huko Kashashi), anayefuata ni Elia(Baba yake Elisaa, David na Askari mstaafu anayeishi Sanya juu), toka Elia anayefuata ni Abraham wa Masaini(watoto wake ni Festo na Veraufoo). .

1b).JE BABA YAKE BIBI ALIBATIZWA?

Nsero alikataa kubatizwa akasema haoni tofauti yoyote kati ya waliobatizwa na wasiobatizwa

1c).NKANTURU

Nkanturu alikuwa mtoto wa kwanza wa Ndesamburo (mdogo wake na Nsero) . Nkanturu ni dada yao na Mzee Shilewinga Kileo , Samiaeli Kileo , Onaeli Kileo . Nkanturu alizaliwa 1901 naye alikataa kubatizwa kama Nsero.

Na kweli tumeona Bwana alimfanya kuwa mshindi kwelikweli,Haleluya! (Zab.60:12) .

Mzee Elinewinga Menda Nnyaka alimaliza safari yake mwaka 1984 akiwa na uzee mwema wa miaka 114 na rekodi bora kabisa (Nndumi Narumishwa Nde na Ma!) .

2.Watoto wa Salema


2(a).Elianshitaua,2(b)Nsero na 2(c).Ndesamburo



2a).Watoto wa Elianshitaua

Alesikwa, Veraumangi , Elifera, mama yake na Apaeli, Shanaeli(aliolewa Ng'uni kwa Mwise).



2b). Watoto wa Nsero

(Angalia ndugu zake Bibi Elikyesia)


2c). Watoto wa Ndesamburo

2c(i)-mke mkubwa

Nkanturu (alizaliwa 1901 aliolewa Siha kwa Ngalami, hakubatizwa kama Nsero) ,Shilewinga,Senyiaeli,Samiaeli,Onaeli,Shilekirwa,Ndumaeli(mke wa Fitakyasa Natai)


2c(ii)Watoto wa mke mdogo .

.

Shisaeli, Kaeli,Anandumi,Veraeli,Apaisaria (aliolewa kwa Nderanguso- watoto wake ni Ndesamburo, Shiftaeli wa Nkwatuke na wengine),Elishekya (Huyu aliolewa kwa Siao-Pendaeli), Zabuloni (Huyu alikuwa mwalimu kwa miaka mingi huko Mtwara) .

Kwa ufafanuzi kidogo

Alesikwa ni Babu yake na Godluck Kileo (Shekiland).Kwa Alesikwa ni jirani na kwa Bakari, ni jirani pia na Baba mdogo Allen.Alesikwa alifariki kwenye miaka ya 80

Veraumangi - aliishi Urereny ni Babu yake na mke wa Olav

Elifera - Kwake ni Pale Shule ya msingi lukani

2(a).Watoto wa Elianshitaua- Alesikwa,Veraumangi na Elfera

2(c).Watoto wa Ndesamburo- Nkanturu,Shilewinga,Senyiaeli,Samiaeli,Onaeli,Shilekirwa,Ndumaeli,Shisaeli,Kaeli,Anandumi,Veraeli,Apaisaria(aliolewa kwa Nderaguso),Elishekya,Zabuloni(Mwl. mstaafu alikaa Mtwara miaka mingi sana).

2(b).Watoto wa- Nsero

Watoto wa Nsero(alikataa kubatizwa akasema haoni tofauti yoyote na waliobatizwa). Nsero alikuwa na wake wawili . Watoto wa mke mkubwa ni Elikyesia, Salome(aliolewa Ng'uni kwa Anamwikira mtoto wao anaitwa Sarieli ambaye mke wake aliwahi kuwa mbunge, mtoto mwingine wa Nsero ni Nkangeresa(Huyu aliolewa huko Kashashi), anayefuata ni Elia(Baba yake Elisaa, David na Askari mstaafu anayeishi Sanya juu), toka Elia anayefuata ni Abraham wa Masaini(watoto wake ni Festo na Veraufoo).

Elinewinga Nnyaka

Mwaka 1916 alikwenda vitani (vita kuu ya kwanza ya dunia 1914-1919). Wakati wanarudi toka vitani walitembea toka (Posta) Dar es Salaam mpaka nyumbani Lukani , safari yao walianza watu 7 kwenda Moshi ni wawili tu walifika katika hiyo safari.Aliporudi kutoka vitani alioa Bibi Elikyesia Nsero mnamo 1920 .

  • 1916-1919 -Alikwenda Vitani
  • 1920- Alioa
  • 1925- Alibatizwa kule Masama
  • 1937-Alichaguliwa kuwa Nshili

1960-Alistaafu Uongozi

Ndesamburo

Watoto wa Ndesamburo (mama mkubwa) -Shilewinga(1906), Senjiaeli, Samiael(Baba yake Samson Kileo),Mwl. Onael, Shilekirwa(Magazeti),Nkanturu(ndo mtoto wa kwanza alizaliwa 1902 hakubatizwa naye kama Nsero), na Ndumaeli (mke wa Fitakyasa Natai) .

Ndesamburo-Mama mdogo

Watoto wa Ndesamburo (mama mdogo)- Shisaeli(baba yake na Terevaeli), Kaeli, Anandumi,Veraeli, Apaisaria(aliolewa kwa Nderaguso) mamaake na Shaftaeli na Ndesamburo, Elishekya,........, na Zabuloni (Mwalimu mstaafu alikaa Mtwara miaka mingi .

Vana vya Nsero

Watoto wa Nsero(mke mkubwa) - Daniel (Kwake ni Sufi njia ya kutokea Yuri), Reuben Kileo (Baba yake Jesmat), Bariki (kwake ni Nkwatuke),Elipokea (alikuwa meneja wa TANESCO Mafia, Baada ya Elipokea walizaliwa wanawake wawili (majina sikumbuki) mmoja aliolewa kwa Munuo huko Ng'uni, na mwingine aliolewa Mashua inasemekana mme wake alipata kichaa

Nsero

Watoto wa Nsero(mke mdogo) - Daniel (Kwake ni Sufi njia ya kutokea Yuri), Reuben Kileo (Baba yake Jesmat), Bariki (kwake ni Nkwatuke),Elipokea (alikuwa meneja wa TANESCO Mafia, Baada ya Elipokea walizaliwa wanawake wawili (majina sikumbuki) mmoja aliolewa kwa Munuo huko Ng'uni, na mwingine aliolewa Mashua inasemekana mme wake alipata kichaa

2b. Watoto wa Nsero

Nsero alikuwa na wake wawili .

Watoto wa mke mkubwa ni Elikyesia, Salome(aliolewa Ng'uni kwa Anamwikira mtoto wao anaitwa Sarieli ambaye mke wake aliwahi kuwa mbunge, mtoto mwingine wa Nsero ni Nkangeresa(Huyu aliolewa huko Kashashi), anayefuata ni Elia(Baba yake Elisaa, David na Askari mstaafu anayeishi Sanya juu), toka Elia anayefuata ni Abraham wa Masaini(watoto wake ni Festo na Veraufo

.

Nke wa Pili - Daniel (sufi),Reuben(Nkwatuke),Bariki(Nkwatuke),Elipokea(TANESCO-Mafia),Mama (aliolewa Ng'uni),mama(aliolewa Mashua)

Shilewinga

Senjiaeli

Samiaeli

Shilekirwa
Onaeli

Ndesamburo Salema Kileo- Baba Mdogo wake Bibi