Eliapenda
,Ndeshifwaya,
Oberilini,
Ezekia,
Shanshaeli,
Furaeli
,Ndenashikwa,
Apaaisaria
,Kyekue,
Eliona,
na wengine.
Na kweli tumeona Bwana alimfanya kuwa mshindi kwelikweli,Haleluya! (Zab.60:12) .
Mzee Elinewinga Menda Nnyaka alimaliza safari yake mwaka 1984 akiwa na uzee mwema wa miaka 114 na rekodi bora kabisa (Nndumi Narumishwa Nde na Ma!) .
Ndugu zake Imbianndumi.
Eliapenda
,Ndeshifwaya,
Oberilini,
Ezekia,
Shanshaeli,
Furaeli
,Ndenashikwa,
Apaaisaria
,Kyekue,
Eliona,
na wengine.
Eliapenda
,Ndeshifwaya,
Oberilini,
Ezekia,
Shanshaeli,
Furaeli
,Ndenashikwa,
Apaaisaria
,Kyekue,
Eliona,
na wengine.
1. Maroua ---Imbianndumi -Masika -Oshoseny -Manswee….Mungomae aliolewa -Ndeanshikarisa
2. Kaaney3.Eshiwakwe -Eliapenda (alikuja na mama ) -Ndeshifwaya( “ ) -Oberilin - Ezekia -Shanshaeli (mke wa Shileruywa).
4. Malaseko 1 – Furaeli -Ndenashikwa
5.Malaseko 2. Elizabeth-- Mama Traeli -Apaaisaria -Kyekue -Eliona
Watoto wa Tabitha Barnaba ni Eliavinga,Taramaeli, Hannah, Barnaba, Anaeli ,Nicolaus,Immanueli,Ndenarumishwa na Isaya .
Mwaka 1916 alikwenda vitani (vita kuu ya kwanza ya dunia 1914-1919). Wakati wanarudi toka vitani walitembea toka (Posta) Dar es Salaam mpaka nyumbani Lukani , safari yao walianza watu 7 kwenda Moshi ni wawili tu walifika katika hiyo safari.Aliporudi kutoka vitani alioa Bibi Elikyesia Nsero mnamo 1920 .
Watoto wa Ndesamburo (mama mkubwa) -Shilewinga(1906), Senjiaeli, Samiael(Baba yake Samson Kileo),Mwl. Onael, Shilekirwa(Magazeti),Nkanturu(ndo mtoto wa kwanza alizaliwa 1902 hakubatizwa naye kama Nsero), na Ndumaeli (mke wa Fitakyasa Natai) .
Watoto wa Ndesamburo (mama mdogo)- Shisaeli(baba yake na Terevaeli), Kaeli, Anandumi,Veraeli, Apaisaria(aliolewa kwa Nderaguso) mamaake na Shaftaeli na Ndesamburo, Elishekya,........, na Zabuloni (Mwalimu mstaafu alikaa Mtwara miaka mingi .
Watoto wa Nsero(mke mkubwa) - Daniel (Kwake ni Sufi njia ya kutokea Yuri), Reuben Kileo (Baba yake Jesmat), Bariki (kwake ni Nkwatuke),Elipokea (alikuwa meneja wa TANESCO Mafia, Baada ya Elipokea walizaliwa wanawake wawili (majina sikumbuki) mmoja aliolewa kwa Munuo huko Ng'uni, na mwingine aliolewa Mashua inasemekana mme wake alipata kichaa
Watoto wa Nsero(mke mdogo) - Daniel (Kwake ni Sufi njia ya kutokea Yuri), Reuben Kileo (Baba yake Jesmat), Bariki (kwake ni Nkwatuke),Elipokea (alikuwa meneja wa TANESCO Mafia, Baada ya Elipokea walizaliwa wanawake wawili (majina sikumbuki) mmoja aliolewa kwa Munuo huko Ng'uni, na mwingine aliolewa Mashua inasemekana mme wake alipata kichaa
Mtoto wa kwanza ni Tabitha , huyu aliolewa na Babu Imbianndumi Elingaya Ndaashuka na waliishi Matikoni Ng'uni
.Mtoto wa pili ni Rote huyu aliolewa huko Meru
.Mtoto wa tatu ni Helena huyu naye aliolewa huko Meru
.Mtoto wa nne ni David Barnaba huyu aliishi pale sufi jirani na kanisa la Lutherani, huyu alichukua mashamba ya baba yake yale yaliyokuwa maeneo ya Lukani, Losaa na Sufi. Mzee Elinewinga akiwa Nchili alisimamia hili
.Mtoto wa tano ni Gabriel huyu aliishi huko Meru
.Mtoto wa sita ni Aishi huyu aliolewa huko Meru
.Mtoto wa saba ni Amosi huyu alishi huko Meru
.Mtoto wa nane ni Eliasara huyu aliolewa huko Meru
.Mtoto wa Ndewangwa huyu aliishi huko Meru
.Mtoto wa tisa ni Apansia huyu aliolewa huko Machame kwa Ndanshau
Mtoto wa kwanza ni Tabitha , huyu aliolewa na Babu Imbianndumi Elingaya Ndaashuka na waliishi Matikoni Ng'uni
.Mtoto wa pili ni Rote huyu aliolewa huko Meru
.Mtoto wa tatu ni Helena huyu naye aliolewa huko Meru
.Mtoto wa nne ni David Barnaba huyu aliishi pale sufi jirani na kanisa la Lutherani, huyu alichukua mashamba ya baba yake yale yaliyokuwa maeneo ya Lukani, Losaa na Sufi. Mzee Elinewinga akiwa Nchili alisimamia hili
.Mtoto wa tano ni Gabriel huyu aliishi huko Meru
.Mtoto wa sita ni Aishi huyu aliolewa huko Meru
.Mtoto wa saba ni Amosi huyu alishi huko Meru
.Mtoto wa nane ni Eliasara huyu aliolewa huko Meru
.Mtoto wa Ndewangwa huyu aliishi huko Meru
.Mtoto wa tisa ni Apansia huyu aliolewa huko Machame kwa Ndanshau
Rote
Helena
Aishi